Skip to main content

Posts

MAPENZI NI NINI?                                                   1. Hivi neno mapenzi, maana yake nini,                 kwasababu ni la enzi, ila simka badani,            Imekua ka mkwezi, haliachwi maishani,           Mapenzi hasa ni nini, naomba jibu yakini.         2. Mapenzi hasa nini, naomba jibu yakini,      Nje ndani yamkini, yaumiza mioyoni,               sijui nfanye nini, kumpata mtimani,                   Yanawaliza  mabosi, majemedari wakuu.           3. Yanawaliza mabosi, majemedari wakuu,        Wengine wanayafosi, kuyatafuta makuu,          wanafanya kwa kuasi, harimu...
Recent posts
11....kama kawa tujuavyo, kuna masikabila mvua, pia zasaidiapo, biasharakuzijua, wengi wapata kipato, wengi tumeshuhudia, simu zatusaidia, Sisi ndo twaziharibu, ....12....Wasiliano rahisisha, nje na  ndani pia, umoja zimedumisha, wote kuwa familia, mengi imebainisha, mazuri mabaya pia, sisi ndo twaziharibu, simu zatusaidia. . . . 13. . . . Nukuu twazitafuta, ziloandikwa kwa kina, Dalihini kuzipata, mengi yameambatana, walimu kuzifumbata, zote kuzishikamana, simu zatusaidia, Sisi ndo twaziharibu, . , 14. ..Zapunguza pia muda, wa kuanza tafutana, diradira za ukuda, zapungua kwa sana, Hakuna muda poteza, wafanya mambo mengine, sisi ndo twaziharibu, simu zatusaidia, . ...15. ..Hakuna wa kubabaka, ukweli wajulikana, japo wametuletea, ila zinatupumbaza, mzazi simpe mwana, ukaona wampenda, Hapo unampoteza, bila mwnywe kujua, ....KWA LEO NAOMBA NIISHIE HAPA NAENDELEA KUWAKARIBISHA USHAURI, MAONI NAHITAJI
Jamani wanawake tusaidianeni, tupeane kampani support, tunaweza tunaweza, wanaume wasituchezee, jamani mi nashangaa wanawake t unalia kbb ya mapenzi, tunakua kama vile hakuna tunachowaza tunawaza mapenzi tu, mapenzi yenyewe yanatutesa, yanatuliza, mwanaume anayekuliza sio kabisaaa move on maisha yaende, I have

MTOTO WA MAMA /BABA WA KIDIGITALI

SHAIRI HILI NI ZURI SANA LINAONGELEA WAZAZI WA KIDIGITALI NA MALEZI /MAKUZI YA WATOTO, WAZAZI WA SIKU HIZI WAMEJISAHAU SANA KWENYE MALEZI YA WATOTO HII NI HATARI KWA MENGINE TUUNGANE KATIKA SHAIRI HILI, KARIBUNI SANA, ..."""""MTOTO NA MAMA AU BABA WA KIDIGITALI """""1....Mambo yamebadilika,wazazi zama na sasa, Malezi kughafilika, watoto shindwa kuasa, maovu yamefurika, umetuzidi usasa, baba, mama, digitali, mtoto atakuaje? 2....Mama nyonyesha hataki, falaula angejua,Kuja kutahamalaki, mtoto asiyekua, anamkosesha haki, mengine kuyatambua, Mtoto atakuaje? Baba, mama, digitali, ...3....Mtandaoni warusha, sherehe kubwa wafanya, lakini kumnyonyesha, kitu wasichokifanya, mapenzi yasiyokwisha, toto aweze kunyonya,baba, mama, digitali, mtoto atakuaje? 4.....Imani zimewatoka, nguo za wavaa, wajifanya mababaka,elewi yalowajaa, kila siku wanaruka,uzungu usowafaa, mtoto atakuaje? Baba, mama, digital, ..5...Malezi kitu muhimu, msifanye marinara, tuy...
6.......Serikali awamu tano, yasema hapa kazi tu, fanyakazi zembe walo, bado wanazihusudu, hiyo subuhi kuchwayo,Simu ndo kama salamu, wewe ndo uitawale, simu isikutawale. ..7....Zimerahisisha vitu, wanawake wanaume, mtu kutana na mtu, mambo yameenda kume, Mawasiliano butu, yamaliza kila tume,Simu usikutawale, wewe  ndo uitawale, . 8....Zavunja mpaka  ndoa, zachachamua mabosi, zinatia watu doa, sababu ya kuwa ghashi, imani zawaondoa, vichwa havishughulishi, wewe ndo uitawale, simu usikutawale, ..9....Zapoteza ufanisi mambo yanafaitika, wajifanya adinasi, mazuri yanakatika, wanafanya na uasi, mambo yanabadilika,simu isikutawale, wewe ndo uitawale, . 10....Utu wa mtu potea, sababu ya urahisi, watu badilisha namba, simu ndo kiunganishi, ana kwa ana hakuna, moja siku malizana, wewe ndo uitawale, simu isikutawale, ...11....Kama tujuavyo, kuna masika bila mvua, pia zasaidiapo, biashara kuzijua, wengi wapata kipato, tena tumeshuhudia, simu zatusaidia,Sisi ndo twaziharibu, ...12...Wasi...

MITANDAO YA KIJAMII

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa MwenyeziMungu, lakini pia na kwa wadau wangu wote, ambao wananishauri, na kunipa maoni, kwanza kabisa napenda kuongelea suala la matumizi ya mitandao ya kijamii, limekua tatizo kivipi? naomba tuungane kwa kusoma shairi lifuatalo tuburudike, lakini pia tupate ujumbe kwasababu kama halikugusi wewe moja kwa moja linamgusa ndugu yako au mtu wako wa karibu. ....tuimbe pamoja,,,,1...Whatsup, Facebook, Twitter, insta na napchat, mlahaka vilipata, ghafla ikawa dabali, bila hata ya kusota, wengi walivikumbata, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ..2..Ilianza taratibu, hii teknolojia, dahari ikaharibu, kuja smatifonika, watu wawa kama duku, wawapo mitandaoni, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ...3...zauzwa fulusi ndogo, kila moja amiliki, hata watoto wadogo, zawatia daathari, wanapita kwa mikogo, wazishikapo kwa ari, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ..4...wanafunzi shindwa soma, wabaki kuwa madusa,akili zao zahama,simu zawagusa gusa, wawapo shule ...
HILI NI SHAIRI ZURI SANA KUHUSIAN A NA WATU MUHIMU SANA KATIKA ULIMWENGU WOWOTE ULE, KARIBUNI TUIMBE KWA PAMOJA, 1...TUWAPENDE NA KUWAJALI WALIMU WETU, 1....Honge hongera walimu, kwa kazi mnayofanya, mmeishika hatamu, abadi na siku zote, babatana kuheshimu, baitika hawataki,ualimu ni adhama, apewa kama adia, ...2...japo wanaudharau, walimu fanya adili, wengi wanausahau,lakini tafika dali, watoto wapanda dau, kukua zao akili, ualimu ni adhama, apewa kama adia. ..3....walioko vijijini, hawa watu abtali, wakuta na vizuizi, mazingira kukabili, vigezo haviwakizi,lakini kazi jalili, ualimu ni adhama, apewa kama adia, 4....mwalimu wai kijijini tofauti na mjini, shule mbali  na nyumbani, watembea dahilini, wasipokua makini ,wengi waishia kati, ualimu ni adhama, apewa kama adia, 5...watembea mita nyingi, mashule kuyafikia, wakutana na vigingi, m, waibaaisha kuyatafuta, baadhi ya wananchi,waiba vilotafutwa, ualimu ni adhama, apewa kama adia, 6....shule hazina ofisi,zinazokidhi vigezo, tunafa...