Skip to main content
11....kama kawa tujuavyo, kuna masikabila mvua, pia zasaidiapo, biasharakuzijua, wengi wapata kipato, wengi tumeshuhudia, simu zatusaidia, Sisi ndo twaziharibu, ....12....Wasiliano rahisisha, nje na  ndani pia, umoja zimedumisha, wote kuwa familia, mengi imebainisha, mazuri mabaya pia, sisi ndo twaziharibu, simu zatusaidia. . . . 13. . . . Nukuu twazitafuta, ziloandikwa kwa kina, Dalihini kuzipata, mengi yameambatana, walimu kuzifumbata, zote kuzishikamana, simu zatusaidia, Sisi ndo twaziharibu, . , 14. ..Zapunguza pia muda, wa kuanza tafutana, diradira za ukuda, zapungua kwa sana, Hakuna muda poteza, wafanya mambo mengine, sisi ndo twaziharibu, simu zatusaidia, . ...15. ..Hakuna wa kubabaka, ukweli wajulikana, japo wametuletea, ila zinatupumbaza, mzazi simpe mwana, ukaona wampenda, Hapo unampoteza, bila mwnywe kujua, ....KWA LEO NAOMBA NIISHIE HAPA NAENDELEA KUWAKARIBISHA USHAURI, MAONI NAHITAJI

Comments

  1. Ninavyoona ndugu, kazi yako ni nzuri endelea kupiga hatua.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

MITANDAO YA KIJAMII

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa MwenyeziMungu, lakini pia na kwa wadau wangu wote, ambao wananishauri, na kunipa maoni, kwanza kabisa napenda kuongelea suala la matumizi ya mitandao ya kijamii, limekua tatizo kivipi? naomba tuungane kwa kusoma shairi lifuatalo tuburudike, lakini pia tupate ujumbe kwasababu kama halikugusi wewe moja kwa moja linamgusa ndugu yako au mtu wako wa karibu. ....tuimbe pamoja,,,,1...Whatsup, Facebook, Twitter, insta na napchat, mlahaka vilipata, ghafla ikawa dabali, bila hata ya kusota, wengi walivikumbata, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ..2..Ilianza taratibu, hii teknolojia, dahari ikaharibu, kuja smatifonika, watu wawa kama duku, wawapo mitandaoni, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ...3...zauzwa fulusi ndogo, kila moja amiliki, hata watoto wadogo, zawatia daathari, wanapita kwa mikogo, wazishikapo kwa ari, simu isikutawale, wewe ndo uitawale, ..4...wanafunzi shindwa soma, wabaki kuwa madusa,akili zao zahama,simu zawagusa gusa, wawapo shule ...

MTOTO WA MAMA /BABA WA KIDIGITALI

SHAIRI HILI NI ZURI SANA LINAONGELEA WAZAZI WA KIDIGITALI NA MALEZI /MAKUZI YA WATOTO, WAZAZI WA SIKU HIZI WAMEJISAHAU SANA KWENYE MALEZI YA WATOTO HII NI HATARI KWA MENGINE TUUNGANE KATIKA SHAIRI HILI, KARIBUNI SANA, ..."""""MTOTO NA MAMA AU BABA WA KIDIGITALI """""1....Mambo yamebadilika,wazazi zama na sasa, Malezi kughafilika, watoto shindwa kuasa, maovu yamefurika, umetuzidi usasa, baba, mama, digitali, mtoto atakuaje? 2....Mama nyonyesha hataki, falaula angejua,Kuja kutahamalaki, mtoto asiyekua, anamkosesha haki, mengine kuyatambua, Mtoto atakuaje? Baba, mama, digitali, ...3....Mtandaoni warusha, sherehe kubwa wafanya, lakini kumnyonyesha, kitu wasichokifanya, mapenzi yasiyokwisha, toto aweze kunyonya,baba, mama, digitali, mtoto atakuaje? 4.....Imani zimewatoka, nguo za wavaa, wajifanya mababaka,elewi yalowajaa, kila siku wanaruka,uzungu usowafaa, mtoto atakuaje? Baba, mama, digital, ..5...Malezi kitu muhimu, msifanye marinara, tuy...
MAPENZI NI NINI?                                                   1. Hivi neno mapenzi, maana yake nini,                 kwasababu ni la enzi, ila simka badani,            Imekua ka mkwezi, haliachwi maishani,           Mapenzi hasa ni nini, naomba jibu yakini.         2. Mapenzi hasa nini, naomba jibu yakini,      Nje ndani yamkini, yaumiza mioyoni,               sijui nfanye nini, kumpata mtimani,                   Yanawaliza  mabosi, majemedari wakuu.           3. Yanawaliza mabosi, majemedari wakuu,        Wengine wanayafosi, kuyatafuta makuu,          wanafanya kwa kuasi, harimu...